Pages

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI ANGEL MAGOTI ATAMBULISHA AUDI-CD ALBAM YAKE KWA RAIS DR JAKAYA KIKWETE



Jumatatu ya wiki hii ni tukio pekee kwa muimbaji wa nyimbo za injili wa injili toka kanisa la Waadventista Wasabato Temeke kwa kupata fursa ya kuimba wimbo ulio na maudhui ya kupambana na kuzuia rushwa.
Yamefanyika hayo wakati Rais Kikwete alipofungua mkutano wa 12 wa shirikisho la Taasisi za kupambana na kuzuia Rushwa kwa nchi za SADC katika Hotel ya Malaika iliyopo jijini Mwanza
Audio-cd hii ina nyimbo 10 na jina la Albam"UMEFANYA TENA"
Kwa maulizo na jinsi ya kuipata piga sasa +255714-531-444
Mwimbaji Angel Magoti akiwa na Rais Kikwete na pembeni yao ni mwimbaji Tumaini wakiwa katika maongezi mara baada ya ufunguzi wa maswala ya kupambana na kuzuia rushwa.

Mwimbaji Angel Magoti akiwa na Rais Kikwete wakiwa katika maongezi mara baada ya ufunguzi wa maswala ya kupambana na kuzuia rushwa.

Mwimbaji Angel Magoti akiwa na Rais Kikwete wakiwa katika maongezi mara baada ya ufunguzi wa maswala ya kupambana na kuzuia rushwa.

Mwimbaji Angel Magoti akiwa na Rais Kikwete na hapa wakiwa wameshika audio-cd ya mwimbaji huyo na baadae wakawa katika maongezi mara baada ya ufunguzi wa maswala ya kupambana na kuzuia rushwa.